Saturday, April 13, 2013

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA SEMINA YA WENYE ULEMAVU WA NGOZI, LEO


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya washiriki wa semina ya wabunge kuhusu masuala ya Albino baada ya kuifngua kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni Mjini Dodoma, Aprili13, 2013. Kuliani Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr.Seif Rashid.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment