Saturday, February 2, 2013

Dkt. Migiro atembelea Hospitali za Maweni na Ujiji Mkoani Kigoma

 Katibu wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt. Asha - Rose Migiro akiwa amembeba mtoto mmoja kati ya Watoto Mapacha wa Bi. Maria Goleti Johnphas (kulia) aliejifungua mapema jana asubuhi katika Zahanati ya Ujiji,Mkoani Kigoma.Dkt. Migiro aliuongoza Ujumbe wa Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Kigoma kutembelea Wadi za Wazazi na Watoto katika Hospitali za Ujiji na Maweni Mkoani humo.
Katibu wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt. Asha - Rose Migiro akimsikiliza kwa makini mmoja wa mama alielazwa kwenye Zahanati ya Ujiji,Mkoani Kigoma.

Katibu wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt. Asha - Rose Migiro akifurahi na Mtoto aliekuwa na Mama yake nje ya Wadi ya Watoto katika Hospitali ya Maweni Mkoani Kigoma.















0 comments:

Post a Comment